July 31, 2014

MZIGO MPYAA DUKANI







Wahi chako mapemaaaa....nipigie 0655 258737

WALE WA QUEEN ELISABETH

Mliokua mnanipigia mnataka cocoa butter tayari zishafika.Bei ileile elf 35,000...unaweza kuletewa pia popote ulipo....call me 0655 258737

July 23, 2014

HIJAB SWAGG

 crazy gals


JUMLA





KUANZIA PEICE 10
BEI NI 27,000


GOOD NEWS!!!!QUEEN ELISABETH KWA JUMLA

 Hii ni kwa wale waliokuwa wanataka Queen Elisabeth kwa jumla nimeslifanyia kazi na sasa zianapatikana
Ili nikuuzie kwa bei ya jumla ni lazima iwe kuanzia peice 6 na kuendelea.

Ukipaka kopo zako mbili lazima ung'ae

Nkuhakikishia matokeo mazuri ukiitumia
BEI YA JUMLA KWA PEICE NI TSH 28,000
REJAREJA NI TSH 35,000
CALL ME 0655 258737

July 22, 2014

KWA WANUNUNZI WA JUMLA-HIGH HEELS


BEIGE

WHITE

BLACK
VINA RANGI 3 TU BEIGE,WHITE NA BLACK
SIZE 3-8
BEI-40,000 JUMLA CALL ME 0655 258737

July 21, 2014

I'M IN LOVE WITH CIARA NEW LOOK



Cute masha allah


RAMADHAN SWAGG








MSUTO!!!

 Iliandaliwa keki watu wakafungua na champagne pale mkaka akasuuutwaaaa hakubakishwa doh!!
keki ikikatwa na Maimatha

 Na huyo anayekula keki ndio mbea mwenyewe,hapo kaitwa kula keki akiwa hajui kama hiyo keki inamuhusu.Baada ya kubwia pande lake ndio akaambiwa soma kilichoandikwa juu ya keki!!!Alionaje hayaaa
kaekwa mtu kati msuto ukaanza...konkoliko...umbea uache hahahah
Sajoni jirani ya maimartha pale dukani kwake k/nyama,kilichofanya mpaka akasutwa bwana yule alikua akichukua maneno na mambo yote anayofanya Maimatha pale dukan pamoja na kila mgeni wa kiume atakayeingia dukani anaenda kumwambia mumewe Shaa.

July 19, 2014

VIATU VYA JUMLA-VIMEKWISHA






VINAPATIKANA KUANZIA SIZE 3-8
CALL ME 0655 258737,Nilam