Showing posts with label ME AND MY WORLD. Show all posts
Showing posts with label ME AND MY WORLD. Show all posts

July 15, 2014

HAPPY BELATED BIRTHDAY OLD SPORT

Antu

My sherry,my kipenz...my beautiful onyiye

June 20, 2014

May 27, 2014

ACTION SPEAKS LOUDER THAN VOICE....ALHAMDULILLAH



Apa ndo pa kijidai mother house sasa
Mshukuru mungu kwa kila hatua unayopiga katika maisha yako,maana bila yeye usingeweza kufika hapo ulipo.Na siie tunasema Alhamdulillah.Siku nyingine ntawaekea picha za mchana

May 14, 2014

LEO NAJIPENDELEA MWENYEWE

meri papa

siku hii nilifanyia make up  nyumbani basi baba angu akawa amekaa tu pembeni ananiangaliaaaaa hahah
akaniuliza...kwahio ukirudi nyumbani hizo unazpaka zote unatoa au!!!nami nkamuuliza kwani enzi za mama alikua hajipodoi au

wanasemaga mtoto wa kike na babaake na wa kiume wa mamake




mamushka(samira)

anasema jina la mamushka nimuite mimi tu,wengine wote muiteni samira lol


with my habiy

hushby wa mine






apa tulikua tunarudi safari yetu...kauso kameshachokaaa lol

May 6, 2014

WELCOME TO THE WORLD BABY NICKLAUS

cute masha allah

Belinda,Amble(dad),Nicklaus....wana mbwembwe hao!

His little hands stole my heart wallah.
Yani nilikuwa siishi kumkagua hahah....nilimuanzia tukucha adi ninywele vyake!!!
Belinda ni rafiki,dada na ndio alikua bondia wangu shule nilikua siguswi yani...nichokoze nikuitie Belly lol....she is the best thing i ever had!!Tarehe 18 apr ilikuwa Birthday yangu na yeye ndio alikuwa mtu wa pili kuniwish baada ya Husby.Tarehe 26 apr ni Birthday yake mwenyewe nikajipanga asubuhi mapemaa nimuwish...nikakutana na good news,Baby Nicky was in da house(so mama na mwana wanashare bday...so sweet).Mara ya mwisho kutoa chozi la furaha ilikuwa mwaka jana hushy aliponifanyia suprise ya birthday dinner.Mara hii ni ujio wa baby Nicky chozi lilinitoka nilishindwa kujizuia.Belindah i am so proud of u sweethert hope your newbaby brings you all the happiness you deserve much love to you and Nicklaus Gordon

May 2, 2014

April 18, 2014

Happy Birthday to meee...2014


Hii ilikua a suprise cake from my Hushby...naona ndo nishabatizwa jina la Unique Lol

us....Thank you swititooo

March 17, 2014

SHAMIM MWASHA




Katika maisha unaweza ukawa unafanya vitu vyako bila kujijua kuna mtu mahali fulani anakupenda anakuangalia na kufuata nyayo zako in a good way.Nadhani ndio ilivotokea kwangu mie,Huyu dada nilimuona mara ya kwanza kupitia blog yake  nikahisi ana vitu ambavyo naweza kujifunza kupitia kwake.Nikaanza kumfatilia taratibu na leo  hii vimenifikisha hapa nilipo.Naweza sema Shamim ndiye alinihamasisha kuingia katika hii biashara na mpaka kufungua hii blog.In sha allah mwenyezi mungu akupe afya  njema na maisha marefu yenye mengi mafanikio