May 28, 2014

KAJALA,WEMA ...NAIMA.UMJINI KAZI!!!



Ila siku hizi kuna mchezo mtu anakua na simu mbili anasevu majina anayoyataka,then anafanya chatting yeye mwenyewe akijifanya ni watu wawili tofauti walikua wanachat!!Anacapture na matokeo yake ndio hayaaaa!!!Akili kumkichwa
Siongezi neno mieeee....Ila i wonder hawa watu story za watu wanazitoa wapi!!Mie naamini hawa watakuwa ni watu wao wa karibu wanaowajua in and out ndio wanakuja kuyamwaga hadharani na kuwadhalilisha wenzao.

No comments:

Post a Comment