September 4, 2013

FOOLISH AGE RED CARPET

ME AND MY WORLD....HIKI HI KIPENGELE KIPYA NITAKUWA NAPOST VITU VYANGU MIE NA VINAVONIZUNGUKA NAMAANISHA NI NJE YA MAMBO YA DUKANI.NTAPOST NITAKACHOJISIKIA MWENYEWE JAMANI I HOE SITOMKWAZA MTU.
Pendeza sana HotLulu 


Hot

Sexy Wolper,ila jifunze kupozi na dress yenye mpasuo 

Yeeww hapo sasa ndio mwake sexyyyy

Madam lukin gud ila

Lace dress imekaa magala pake

Next time ujipange hapo kifuani mamii

Mi nadhani hapakuwa na haja ya kushika hiyo nguo acha tuone wenyew mpasuo,na hiyo bra ya pink ni BIG NO!


Dress imekuangusha mamii kawaida sana,next time uvae kiatu size yako

MMHHH!!

Elsy lovey the fashionista mie sijaelewa hizo soksi apo chini

Baba Haji ni nini iko umevaa kwenye Red Carpet?

Ivi umewahi kumuona Denzel na funguo za gari kwenye Red Carpet?!

Too casual Ray

Petit man


Nimemuelewa Ombeni

HAYA YOTE NI MAWAZO YANGU TU NA SI KWAMBA IMI NDIO NAJUA SANA NIMEJIONEA VITUKO VINGI KWENYE HIYO RED CARPTET NIKAWASHWA KUPOST HIVI.ALL IN ALL WENGI WALIPENDEZA SANA

No comments:

Post a Comment